Corpus: swa_news_2020_30K

Other corpora

2.5.11 Distribution of Letter K in Sentences

Number of sentences containing a fixed number of occurrences of the specified character


Gnuplot diagram

# of occurrences # of sentences Sample sentence
0 201 Ali Mohammed Shein wa CCM.
1 705 Abdulhamid Yahya Mzee, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Said Hassan Said, Mawaziri, Naibu Mawaziri pamoja na Washauri wa Rais wa Zanzibar.
2 1230 Abdulla Juma Saadalla ‘Mabodi’ alisema wameamua kufanya siri juu ya majina hayo matano ili kulinda umoja ndani ya chama hicho.
3 1714 AAFP ilisema ingezindua Septemba 5 Pwani pia ADC waliahidi kuzindua Kigoma Septemba 9 na vyama vingine NRA, NLD na ADA-Tadea bado vilikuwa vinajipanga.
4 2064 Abbas ambaye alikuwa pia ni alikuwa ni Msemaji wa Serikali amechukua nafasi ya Suzan Mlawi ambaye amestaafu.
5 2383 Abdalah Makala, anasema kitambi huweza kusababisha matatizo katika mfumo wa upumuaji.
6 2678 Acutis anatunukiwa utakatifu mapema sana tofauti na watakatifu wengine waliopita, ni baada ya miaka 14 tu tangu kifo cha kijana huyo.
7 2889 Acutis alifariki akiwa na umri wa miaka 15 kutokana na kansa ya damu mnamo Oktoba 12, 2006.
8 2763 Abdulakarim Mruma wakati wa uzinduzi wa mkutano mkuu wa mwaka wa Jumuiya hiyo ambapo alisisitiza mabadiliko hayo yamegusa wadau wote wa madini nchini ikiwemo wajiolojia, wachimbaji wadogo na wachimbaji wakubwa.
9 2826 Abdallah Hussein Kombo, amewataka wananchi kuwa na nidhamu ya hali ya juu katika matumizi ya mikopo ili waendelee kukopesheka.
10 2400 Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA, Emmy Hudson akitoa taarifa ya mafanikio ya usajili wa watoto wenye umri chini ya miaka mitano, kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa ulinzi wa haki za kisheria Lina Msanga, mwingine ni Mkurugenzi wa TEHAMA, Cliff Maregeli.
11 2137 Abubakari Khamis Bakary ambaye katika uchaguzi wa Oktoba 28, 2020 alikuwa ni mmoja wa wanachama wanne wa ACT-Wazalendo aliyeshinda uchaguzi huo kupitia jimbo la Pandani lakini alifariki dunia siku chache baada ya uchaguzi huo.
12 1713 AFRIKA Kusini imepongeza hatua ya Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ya kupunguza idadi ya majimbo nchini humo, moja ya matakwa makuu ya upinzani unaoongozwa na Riek Machar, kwa ajili ya kuundwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa.
13 1328 “Abiria hawataruhusiwa kusimama au kukaa popote wakiwa safarini, Serikali itachukua hatua dhidi ya Kapteni na kukifungia chombo chochote kitakachokiuka mashart haya”, alisema.
14 1002 Acha mashabiki wa Barcelona waendelee kuandamana kwenye viwanja vya Camp Nou kwa kuwa hakuna Messi mwingine ambaye atabaki kwenye viwanja hivyo na hakuna mchezaji mwingine ambaye atakuwa na uwezo wa kuipigania timu kwa sasa kama alivyokuwa anafanya yeye.
15 737 Abri alisema kuwa huu ni wakati muhimu Wa wazazi na walezi kuwalinda Watoto kutokuambukizwa na virusi hivyo kwani wako katika hatari kubwa zaidi na ndio maana Serekali iliamua kuchukua hatua za kufunga shule zote na vyuo.
16 475 Aidha aliiomba Tamisemi kushughulikia changamoto zinaziwakabili wenyeviti hao katika kutekeleza majukumu yao ikiwa ni pamoja na stahiki zao kama posho, vifaa vya kazi na zinginezo ili kuwawezesha kufanya majukumu yao inavyotakiwa.
17 320 “2016 walikuwa wagonjwa 1356; mwaka 2017 idadi hiyo ikashuka na kufikia 1060, mwa- ka 2018 ikashuka tena na kufikia idadi ya wanawake 900, na 2019 ikashuka zaidi na kufikia wa- nawake 852.
18 205 Aidha alisema wakati Rais Mkapa anaingia madarakani makusanyo yalikuwa madogo kwani yalikuwa ni wastani wa Sh bilioni 1.7 mwaka 2005 lakini kutokana na juhudi zake yaliimarika zaidi hatua ambayo ilisaidia kufanyika kwa mabadiliko ya sayansi na teknolojia.
19 113 Aidha, aliitaka Takukuru kuendelea kung’ata mafisadi popote walipo ikiwa ni pamoja na kuchukua hatua dhidi ya wote watakaobainika kushiriki kutoa ama kupokea rushwa kwani sheria inawaruhusu kwenda moja kwa moja mahakamani.
20 64 Aidha, Ndikilo alitaja kero ya migogoro ya wakulima na wafugaji kuwa changamoto kubwa Wilayani humo na kwamba lazima aweke mikakati ya utatuzi wake na ikiwezekana ashirikiane na wananchi kikamilifu katika kushughulikia kero hiyo.
21 26 Alidai kuwa siku hiyo ilikuwa ni mara ya pili kwa baba yake kumfanyia ukatili huo na kwamba baada ya kufanyiwa kitendo hicho alikimbia na kupiga yowe, na shangazi yake alifika kumchukua na akamlazimisha kuoga ili asionekane kama amebakwa.
22 9 Akiwa mwanamke wa kwanza kushika wadhfa wa urais, aliahidi kutumia baraza lake kuhakikisha analeta usawa wa kijinsia, ambapo kwasasa kwa kiwango kikubwa kumekuwapo usawa wa kijinsia ikiwa ni mara ya kwanza kwa historia ya baraza hilo.
23 12 Aidha, Mkuu huyo wa wilaya amesema shughuli za kiuchumi ikiwemo viwanda zinakuwa kwa kasi katika wilaya yake hivyo kupelekea umuhimu wa ofisi yake kushirikiana kwa karibu na OSHA katika kulea shughuli hizo za kiuchumi ili ziweze kukuwa na kuleta tija.
24 3 Alisema kuwa kuondolewa kwa vizuizi kwa usawa wa kijinsia kunaweza kuhakikisha kuwa wasichana wanabaki shuleni hadi kuhitimu kwao katika vyuo vya juu, na pia kukuza wanawake kufikia uwezo wao wote, hivyo kuongeza uwakilishi wao katika nafasi za uongozi.
25 1 “Mtu anatakiwa kukimbia dakika 90 kwa wiki nikimaanisha dakika 30 kwa siku tatu kama unakazi na kama unatembea haraka basi angalau dakika 150 kwa wiki maana yake ni dakika 30 kwa muda wa siku tano.
28 2 Amesema kibali kimekuwa kikitolewa kwa masharti ya kununua baruti katika kampuni moja na iwapo utakosa utalazimika kulipia kibali tena ili ukachukue katika kampuni nyingine na kuomba kibali kitolewe na kiweze kutumika katika kampuni yoyote.
144 msec needed at 2021-07-16 20:02